Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 20: SPORTS ETXRA ILIVYORUKA LIVE KUTOKA MAKAO MAKUU YA TEMEKE MARKET

Asikwambie mtu Ndondo inabamba sana kitaa, kuelekea nusu fainali ya michuano hiyo, Sports Extra ya Clouds FM inaruka moja kwa moja kwenye makao makuu ya timu ambazo zimefuzu kucheza hatua hiyo. Baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOP 10 YA WACHEZAJI WALIONUNULIWA KWA MKWANJA MREFU ZAIDI HADI SASA

Usajili wa Hulk kutoka Zenit St Petersburg kwenda Shanghai SIPG ndiyo usajili ghari zaidi hadi sasa katika dirisha hili la usajili. Lakini huenda sajili za Pogba na Morata kwenda Manchester United na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTAA WATANO WALIOFIA MIKONONI MWA MOURINHO

5.Mohamed Salah Mohamed Salah alijiunga na Chelsea January 2014, kipindi cha pili cha kocha huyo aliyefukuzwa kwa mara nyingine na miamba hiyo ya London Magharibi. Mourinho alivutiwa na kiwango chake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZLATAN AMEPOST MANENO HAYA ISNTAGRAM BAADA YA KUMPORA JEZI MARTIAL

Namba za awali za wachezaji wa Manchester United kwa ajili ya msimu ujao zimetangazwa. Hii ni habari kubwa kwa sababu kadha wa kadha. Kwa sababu kuna namba ambayo imeachwa wazi, na taarifa za awali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOU ATOA UTETEZI BAADA YA KIPIGO KUTOKA DORTMUND 

Jose Mourinho amesisitiza kwamba hawezi kujaji wachezaji wake wa Manchester United kutokana na kipigo cha mabao 4-1 walichokipata kutoka kwa  Borussia Dortmund na kusema kwamba: “Injini ilikuwepo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROMA, CHIEF WA KAUZU, WAPAGAWISHA SPORTS EXTRA LIVE -TANDIKA

Mkali wa Bongo Hip Hop Roma Mkatoliki jana usiku alip[agawisha mashabiki wake wa Tandika wakati kipindi cha Sports Extra kikiruka live kutoka mitaa ya Tandika kwenye makao makuu ya Kauzu FC....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EBWANA HISTORIA YA JINA LA KAUZU FC NOMA SANA

Inawezekana umekuwa unajiuliza maswali mengi kuhusu timu ya Kauzu FC, kwanini imepewa jina hilo na lina maana gani lakini maswali yako yakakosa majibu. Sasa Chief wa Kauzu FC imekuja na majibu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RONALDO AZINDUA HOTEL YAKE YA KIFAHARI

Kamwe Cristiano Ronaldo hajawahi kushindwa kitu. Kwa sasa ni moja ya wanamichezo matajari duniani ambaye ameamua kujaribu bahati yake kwenye biashara ya Hoteli. Ndio ameamua kufanya hivyo. Baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEMEKE MARKET HIYOOO FAINALI YA NDONDO CUP

Timu ya Temeke Market imefanikiwa kutangulia fainali ya michuano ya Sports Extra Ndondo Cup 2016 baada ya kuifunga Makumba FC kwenye kwa penati 3-1. Dakika 90 za pambano hilo lililopigwa kwenye uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 15: UHONDO WA NDONDO NJE YA UWANJA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GAUCHO AKUBALI KIROHO SAFI

Mchezaji bora wa mchezo wa nusu fainali ya kwanza iliyozikutanisha Makumba FC dhidi ya Temeke Market alitajwa kuwa ni Ally Mohamed maarufu kama ‘Gaucho’ akitokea Makumba FC timu ambayo ilipoteza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: MARCELO AMEKUTANA NA JAMAA ANAYEFANANA NAE, MAMBO YAKAWA HIVI…

Beki wa kushoto wa Real Madrid Marcelo amekutana na jamaa ambaye wanafanana kwa kiasi kubwa anayefahamika kwa jina la Michael Salazar mshambuliaji wa Montreal Impact. Jamaa hawa wana wanaonekana kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIBU LA RONALDO BAADA YA KUULIZWA KAMA ANAFIKIRIA KUTWAA BALLON D’OR

Cristiano Ronaldo aliamua kurejea Madeira mji aliokua, akitokea kwenye mapumziko ya muda katika kipindi hiki cha majira ya joto barani Ulaya. Haikuwa kwa sababu nyingine bali ni kuzindua hoteli yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI KAUZU VS TEMEKE MARKET FAINALI YA NDONDO CUP

Kauzu FC imetinga fainali ya michuano ya Sports Extra Ndondo Cup baada ya kuichapa Misosi FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati. Mchezo huo wa nusu fainali ya pili ulipigwa kwenye uwanja wa Bandari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONDA AWAPA MAJUKUMU MATATU WACHEZAJI NDONDO CUP

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda jana aliibuka kwenye michuano ya Sports Extra Ndondo Cup kushuhudia nusu fainali ya pili kati ya Kauzu FC dhidi ya Misosi FC. Baada ya kuzikagua timu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAGE: KWANINI MNAKIMBILIA KUSAJILI NJE? NJOONI NDONDO MCHUKUE VIFAA

Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage, naye pia alikuwepo uwanja wa Bandari kwenye game ya nusu fainali ya Ndondo Cup kati ya Kauzu FC dhidi ya Misosi na baada ya mechi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: UHONDO WA NDONDO NJE YA UWANJA

Pambano la nusu fainali kati ya Kauzu na Misosi ilihudhuriwa na mashabiki wengi sana, ukiachana na mechi ndani ya uwanja, nje ya uwanja kulikuwa na pambano kali la mashabiki wa timu hizo mbili. Kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATA RAIS MAGUFULI ANAPENDA NDONDO – MAKONDA

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda amesema mashindano ya Sports Extra Ndondo Cup yanamvutia pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Maguli. Mh. Makonda alikuwa mgeni rasmi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMUSOKO AMEANDIKA UJUMBE MZURI KUM-WISH MKEWE HAPPY BIRTHDAY

Ujumbe wa Kamusoko kum-wish mkewake happy birthday uliambata na picha hii Leo Julai 26 mke wa kiungo wa Yanga Thaban Kamusoko anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa (birthday), katika kuona umuhimu huo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YATOA KICHAPO MECHI YA KIRAFIKI MORO

Mchezo wa kirafiki kati ya Simba dhidi ya Polisi Moro umepigwa katika uwanja wa chuo cha High Land uliopo Bigwa nje kidogo ya manispaa ya Morogoro mjini Mchezo huo umemalizika kwa Simba kupata ushindi...

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>