Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 565

TEMEKE MARKET HIYOOO FAINALI YA NDONDO CUP

$
0
0

IMG_0005

Timu ya Temeke Market imefanikiwa kutangulia fainali ya michuano ya Sports Extra Ndondo Cup 2016 baada ya kuifunga Makumba FC kwenye kwa penati 3-1.

IMG_0007

Dakika 90 za pambano hilo lililopigwa kwenye uwanja wa Bandari Tandika lilimalizika kwa suluhu (0-0) na kwa mujibu wa kanuni na taratibu za mashindano ilibidi mshindi aamuliwe kwa changamoto ya mikwaju ya penati.

IMG_0003

Ushindi huo unaifanya Temeke Market ikutane na mshindi wa nusu fainali ya pili itakayozikutanisha Misosi FC dhidi ya Kauzu FC.

IMG_0001

Michuano ya Ndondo Cup inapewa nguvu na Dr. Mwaka chini ya kampuni yake ya Foreplan, Azam TV pamoja na gazeti la Mwanaspoti.

IMG_0038


Viewing all articles
Browse latest Browse all 565

Latest Images

Trending Articles



Latest Images