Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali imepiga stop wachezaji wa kigeni VPL

Serikali ya imevipiga marufuku vilabu vinavyoshiriki ligi kuu Tanzania hususan Simba, Yanga na Azam kuwatumia wachezaji wa kigeni mpaka watakapokamilisha taratibu zao za uhamiaji. Umuamuzi huo umekuja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wchezaji wote na makocha wa Simba hawana vibali vya kufanya kazi nchini!

Katika hali ya kushangaza, imebainika kuwa wachezaji na makocha wote wa kigeni wa Simba SC hawana vibali vya kufanya kazi nchini. Awali ilidaiwa kuwa, wachezaji wawili wa kigeni waliosajiliwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sanchez asema jiji la London lina stress sana

Alexis Sanchez amesema kwamba jiji la London lina stress sana akiwa kwenye wakati ambao kauli yake inaleta utata sana. Mchezaji huyu muhimu sana kwa club ya Arsenal yupo kwenye wakati wa kuamua future...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azam FC kuanzia raundi ya  kwanza CAF

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limepanga droo ya Kombe la Shirikisho Afrika (CC), inayoonyesha kuwa Azam FC inaanza kufungua dimba la michuano hiyo kwa kucheza raundi ya kwanza. Hii ni mara ya pili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Yanga CAF Champions League

Draw ya mechi za awali kuwania taji la ligi ya mabingwa Afrika imetoka leo, Tanzania inawakilishwa na Yanga ambao ndio mkabingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu uliopita. Yanga imepangwa kucheza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pogba aonyesha uwezo kupiga michano kama msanii Darassa

Kwa sasa hivi ngoma inayofanya vizuri kwenye hiphop ni Muziki wa Darassa. Wiki iliyopita nilikupa story ya kwanini Darasa alimtaja footballer Mbwana Samatta kwenye ngoma yake. Leo hii namfananisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tambwe katuletea zawadi ya mtoto msimu huu wa Sikukuu

Wakati tunaelekea mwishoni mwaka 2016, mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga Amis Tambwe yeye amepata mtoto wa kiume mbaada ya mkewakwe kujifungua jana December 21. Mke wa Tambwe alijifungua majira ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuna timu Zanzibar inachekelea kuwakwepa waarabu michuano ya Caf

Na Abubakar Khatib ‘Kisandu’, Zanzibar Jana Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limepanga Draw ya mechi za awali kuwania taji la ligi ya mabingwa Afrika pamoja na kombe la Shirikisho, Wawakilishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zimamoto kumtangaza mrithi wa Bares

Na Abubakar Khatib ‘Kisandu’, Zanzibar Wawakilishi wa Zanzibar katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika timu ya Zimamoto kesho wanatarajia kumtangaza kocha wao mkuu atakaefundisha timu hiyo hasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Migi ameibukia Kenya

Kiungo aliyetemwa na klabu ya Azam FC na APR mnyarwanda Jean Baptiste Mugiraneza ‘Migi’ yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Gor Mahia ya Kenya inayoshiriki Kenyan Premier League (KPL) kwa lengo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REKODI VPL: Mechi 7 Lyon haijachomoka kwa Yanga!!

Leo Ijumaa Decembember 23 kuna mchezo mmoja tu wa VPL kati ya African Lyon vs Yanga utachezwa kwenye uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Katika mechi saba (7) za mwisho ambazo timu hizi zimekutana kabla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Full ratiba ya Mapinduzi Cup 2017 

Na Abubakar Khatib ‘Kisandu’, Zanzibar Timu zitakazoshiriki kombe la Mapinduzi msimu huu zinatarajiwa kupata asilimia kumi ya mapato ya uwanjani baada ya kulipiwa gharama zote za siku ya mchezo. Kila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngumu Kumeza ya kufungia mwaka 2016

Naingia bar moja karibu na makaburi ya Kinondoni nakutana na jamaa mmoja, anaponiona anaropoka kwa nguvu akisema, umechelewa kidogo sana, ungekutana na wanaodogodesha mpira hapa nchini walikuwepo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama yake Masau Bwire anahitaji faraja kutoka Ruvu Shooting

Leo katika uwanja wa Mabatini, Mlandizi, Kibaha, Pwani, Ruvu Shooting anamualika Tanzania Prisons katika mchezo wa VPL. Ushindi kwa Ruvu Shooting ni muhimu sana kwa timu ili ijiweke katika nafasi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tambwe, Msuva wanaweza kufikia rekodi ya Ngassa, Bocco, Kipre?

Na Baraka Mbolembole KATIKA misimu 6 iliyopita ya Ligi kuu Tanzania Bara, Azam FC imetoa washindi watatu katika tuzo ya mfungaji bora VPL. Mrisho Ngassa alikuwa mchezaji wa kwanza wa Azam FC kushinda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Nilichokiona baada ya dadika 90’ za kwanza Pastory Athanas...

Na  Baraka Mbolembole DAKIKA zake 90’  za kwanza  kama mchezaji  wa Simba SC zilimalizika vizuri, na zimemuachia  kumbukumbu  nyingine nzuri  katika maisha yake ya soka. Alianza katika safu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari njema kuhusu Farid Musa

Baada ya kukwama kwa muda mrefu, hatimaye kijana Farid Musa anaondoka kwenda Spain kujiunga na klabu yake mpya ya Tenerife inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Hispania (Segunda División) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubingwa sio lengo la Azam kwenye michuano ya Mapinduzi Cup

Afisa Habari wa Azam FC Jafar Idd amethibisha ushiriki wa klabu hiyo katika michuano ya Mapinduzi Cup inayotarajia kuanza December 30 hadi January 13 visiwani Zanzibar. Jafar Idd ametaja malengo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 5: Shaffih Dauda alivyotua kwenye Rede Zanzibar

Na AbubakarKhatib ‘Kisandu’, Zanzibar Timu ya Muembe Laduimefanikiwa kutinga hatua ya Robo fainali katika Mashindano ya Nage (Rede) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 20-17 dhidi ya Kikwajuni Magic...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Farid Musa ametaja ushauri aliopewa na kocha aliyetimuliwa Azam FC

Wakati Farid Musa anaondoka jana December 28 kwenda Hispania kujiunga na timu ya Tenerife ni siku hiyohiyo ambapo benchi la ufundi la Azam FC likiongozwa na kocha mkuu Zeben Hernandez lilifutwa kazi....

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>