Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa Jangombe imefanikiwa kupata ushindi kwenye uzinduzi wa Mapinduzi Cup

Seif Hassan ‘Banda’ amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao kwenye michuano ya Mapinduzi Cup msimu huu baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi wakati wa mchezo wa ufunguzi kati ya Taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maoni ya Shaffih Dauda baada ya Azam FC kufukuza makocha wao

Baada ya Azam FC kuwafuta kazi makocha wao wa kigeni, kumekuwa na maoni mengi ya wadau wa soka nchini. Mchambuzi mashuhuli wa masuala ya soka Shaffih Dauda kutoka Clouds Media Group na yeye ametoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azam imekamilisha idadi ya timu 3 zilizowasili Zanzibar

Azam imekamilisha idadi ya timu tatu kutoka Tanzania bara baada ya kuwasili Zanzibar leo jioni ikiwa ni muda mfupi tangu Yanga walipotia timu kwenye visiwa vya marashi ya Karafuu. “Michuano ya Mpinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokisema Mayanja baada ya Simba kutua Z’bar

Kocha msaidizi wa Simba Jackson Mayanja amewaambia wanachama na mashabiki wa Simba wajitokeze kwa wingi kuiunga mkono timu yao kwa ajili ya kuendeleza moto waliotoka nao ligi kuu Tanzania bara kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari ya kusikitisha kuhusu mchezaji wa Simba kufiwa na watoto watatu

Klabu ya Simba imepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya msiba wa watoto wa mchezaji wetu Juuko Murshid vilivyotokea leo huko kwao nchini Uganda. Vifo vya watoto hao watatu vimekuja katika kipindi hiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Boniface Mkwasa sio kocha tena wa Taifa Stars

Kocha mzawa ambae ameiongoza timu ya taifa kwa muda mrefu Chalres Boniface Mkwassa, sasa hivi sio tena kocha wa timu yetu ya taifa. Rais wa TFF ndugu Jamal Malinzi kupitia ukurasa wa twitter ametoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azam imefanikiwa kupata ushindi wa pili bila ‘Wahispania’

Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Zimamoto katika mchezo wa Kundi B michuano ya Mazpinduzi Cup inayoendelea visiwani Zanzibar. Goli pekee katika mchezo huo limefungwa na Shabani Idd dakika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maneno ya dogo aliyetangazwa ‘man of the match’ vs Yanga

Nimefanikiwa kufanya mazungumzo mafupi na kijana mdogo Greyson Gerald ambaye alitangazwa kuwa man of the match wa mechi kati ya Yanga dhidi ya Jamhuri . Licha ya timu yake kupoteza kwa idadi kubwa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwambusi ametoa 5 kwa Msuva

Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amesema, amempa tano kiungo mshambuliaji wa Yanga Simon Msuva lakini akasisitiza kuwa mchezaji huyo wa Taifa Stars ni bora zaidi ya alivyo sasa. Msuva alifunga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video:Magoli yote 6 ya Yanga vs Jamhuri Mapinduzi Cup2017

Yanga imefanya mauwaji kwenye mashindano ya Mapinguzi Cup kwa kutoa kipigo kikubwa zaidi tangu kuanza kwa michuano hii msimu huu kwa kuinyuka Jamhuri jumla ya magoli 6-0. Magoli ya Yanga yalifungwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mipango ya Simba kuelekea mchezo wao dhidi ya KVZ

Leo saa 2:15 usiku Simba itakuwa uwanjani kupambana kwenye mchezo wake wa pili dhidi ya KVZ kwenye Kundi A katika michuano ya Mapinduzi Cup. Kocha msaidizi wa Simba Jackson Mayanja amesema wanahitaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jang’ombe Boys imepata ushindi kwa mabigwa watetezi Mapinduzi Cup

Jang’ombe Boys imekuwa timu ya pili kutoka Zanzibar kupata ushindi kwenye michuano ya Mapinduzi Cup 2017. Boys wameifunga URA FC ya Uganda kwa magoli 2-1 na kuchukua pointi tatu muhimu ikiwa ni mechi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ushindi mwingine umeiongezea Simba pointi Mapinduzi Cup 2017

Simba imefikisha pointi 6 baada ya kupata ushindi wa goli 1-0 mbele ya KVZ kwenye mchezo wao wa pili wa Kundi A michuano ya Mapinduzi Cup 2017. Bao pekee la ushindi wa Simba limefungwa na kiungo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA3: Ibrahim Ajib ndani ya uwanja wa Amaan, Zanzibar

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Ibrahim Ajib yupo ameungana na timu yake baada ya kurejea kutoka Misri alikukokuwa akifanya majaribio kwenye kloabu ya Haras Al Hodoud. Ajib ameonekana kwenye uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ushindi wa Simba vs KVZ ulivyobeba maana ya January 3 kwa Mzamiru

Kama ulikua hujui, leo January 3 ilikuwa ni birthday ya Muzamiru Yassin kiungo anayefanya vizuri kwa sasa kwenye klabu ya Simba na ligi kuu Tanzania bara kutokana na kiwango kizuri anachokionesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Goli la Simba lililoipa Simba uongozi wa Kundi A Mapinduzi Cup 2017

January 3 Simba ilijiweka kwenye nafasi nzuri baada ya kupata ushindi wake wa pili kwenye michuano ya Mapinduzi Cup kwa kuifunga KVZ kwa goli 1-0 katika mchezo wa Kundi A uliochezwa kuanzia majira ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Babi bado yupoyupo sana…

Kama ulikuwa na mawazo kwamba Abdi Kasim Babi astaafu soka basi umechemka, jamaa bado yupoyupo kwenye sana kwenye soka, hii ni baada ya kueleza mipango yake mara baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Mzamiru Yassin wa Simba alivyosherekea Birthday yake

Mzamiru Yassin ni mmoja kati ya wachezaji muhimu sana kwa sasa katika kikosi cha timu ya Simba ambapo amekua akiisaidia timu kwa kufunga magoli muhimu tangu ajiunge na timu hiyo msimu huu akitokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: Saad Kawemba ameshindwa, Hans van der Pluijm ndiye mtu sahihi wa...

Na Baraka Mbolembole Awali sikuwa shabiki wa Hans van der Pluijm lakini miaka yake miwili na nusu kama kocha wa Yanga SC nitabaki kuamini ni kocha bora zaidi katika muongo wa pili wa karne mpya. Hans...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Man of the match Azam vs Jamhuri ameapa kufa na Zimamoto 

Na Abubakar Khatib ‘Kisandu’, Zanzibar Mlinda mlango wa timu ya Jamhuri Ali Suleiman Mrisho baada ya kuisaidia timu yake kupata suluhu kwenye mchezo kati ya Jamhuri na Azam amesema mchezo wao wa...

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>