Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jose Mourinho amsindikiza binti yake kununua nguo za ndani

Hii ilikua kabla ya mechi dhidi ya Spurs, Jose Mourinho alikuwa kwenye kazi za kibaba zaidi na binti yake teenager Matilde. Jose Mourinho alimpeleka mwanae kununua nguo za ndani kwenye duka maarufu la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Star wa Youtube aonyesha Usalama ndani ya Emirates Stadium ni mdogo

Ripoti zinaandikwa kwamba usalama wa mashabiki upo mashakani kutoka na kilichofanya na super star wa Youtube anaitwa DyingLlama. Jamaa huyu huwa anafanya video za ajabu kwenye channel yake ya Youtube....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba bingwa ligi ya U-20

Timu ya vijana ya Simba SC U-20 imefanikiwa kutwaa ubingwa wa kombe la ligi kuu Tanzania bara kwa kuifunga Azam FC U-20 kwa mikwaju ya penati 5-3. Mchezo wa fainali ulichezwa kwenye uwanja wa Azam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dennis Edwin ndiye alinipeleka Tanzania Prisons, nitafanya vizuri nikipata...

Na Baraka Mbolembole “Nilipojiunga Prisons mwaka 2011 nilianza kucheza kama kiungo-mlinzi (namba 6) kutokana na ushindani mkubwa katika nafasi ya beki wa kati, lakini baada ya kuondoka kwa Issa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Europa Legue 32 bora imetoka, Genk ya Samatta pia ipo

Ratiba ya hatua ya 32 bora ya Europa League imeshatoka, watanzania wengi wanapenda kujua timu anayocheza Mbwana Samatta KRC Genk imepangwa na timu gani. KRC Genk itakuna na FC Astra Giurgiu ya Romania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar

Ratiba ya hatua ya 32 bora ya Europa League imeshatoka, watanzania wengi wanapenda kujua timu anayocheza Mbwana Samatta KRC Genk imepangwa na timu gani. KRC Genk itakuna na FC Astra Giurgiu ya Romania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ronaldo amemtupa Messi Ballon d’Or 2016

Star wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya heshima ya Ballon d’Or kwa mara ya nne. Ronaldo,31, aliisaidia Madrid kushinda Champions League msimu uliopita na alifunga magoli matatu kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndio matokeo kamili ya Ballon D’or…wa kwanza hadi wa 17

Kila mtu anajua mshindi ni CR7 na kwa uhakika atakayekua anafuatia ni Messi. Vipi kuhusu top 10 imekamatwa na wachezaji gani?. Hii hapa ni listi kamili ya wachezaji walioingia kwenye top 17 kuelekea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pogba atakimbizwa au atamkimbiza kaka yake?

Huwa inatokea mara chache sana ndugu kukutana kwenye mashindano kama soka, hali hiyo imetokea kwa familia ya Pogba ambapo mtu na kaka yake watakuwa wanawindana uwanjani. Baada ya makundi kupangwa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwaka huu ni zamu ya Riyad Mahrez.

Baada ya kucheza vizuri msimu uliopita na kusaidia club yake kushinda ubingwa wa England bila shaka Mahrez anasthili kushinda tuzo hii ya BBC African Player of the Year. Mchakato huu uliwahusisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukata unaitesa Stand United

Kocha mkuu wa Stand Utd Athuman Bilal anahofia ukata wa fedha unaoikabili klabu hiyo kwa sasa huenda ukawa kikwazo cha kikosi chake kushindwa kufikia malengo ya kufanya mazuri katika duru la lala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPBC kutoa shule kwa mabondia wa Bongo

Shirikisho la masumbwi ya kulipwa nchini TPBC  limeahidi kuendelea kutoa elimu kwa mabondia ambao bado hawafahamu utaratibu wa safari za kutoka nje ya nchi. Rais wa TPBC Palasa Chaurembo amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kura zilizompa Ronaldo Ballon d’Or ni mara mbili ya alizopata Messi

Cristiano Ronaldoalipata kura zaidi ya mara mbili ya kura kura alizopata Lionel Messi aliyemaliza nafasi ya pili, Ronaldo ameshinda tuzo ya France Football Ballon d’Or 2016. Tuzo hiyo ni ya nne kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari nzuri kwa Arsenal, wachezaji wawili wamekubali kuongeza mikataba

Habari kubwa kutoka Ufaransa inawahusu wachezaji wawili ambao sio Sanchez na Ozil wanaosubiriwa na mashabiki wengi. Taarifa kutoka RMC Sports zinawahusu wachezaji Olivier Giroud na Francis Coquelin...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkhitaryan; Mkali wangu wa EPL ni Thierry Henry

Maisha yanaanza kumnyookea Henrikh Mkhitaryan ndani ya Manchester United baada ya kuanza kufumania nyavu hasa kwenye mechi muhimu. Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 27 amesema wazi kwamba yeye akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaya Toure apewa hukumu hii mahakamani kwa kosa la kuendesha amelewa

Yaya Toure ambaye amekua akionyesha picha ya kuwa muumini mzuri wa dini ya “Uislamu” amekutwa na kosa la kuendesha kwa speed kali akiwa amelewa pombe. Yaya baada ya kupewa hukumu alisisitiza kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

George Lwandamina na makocha wengine wapya raundi ya pili VPL 2016/17

Na Baraka Mbolembole LIGI Kuu ya kandanda Tanzania Bara (Vodacom Premier League 2016/17) inataraji kuendelea tena wikendi hii. Timu zote 16 zitaanza michezo ya mzunguko wa pili siku za Jumamosi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlinda mlango namba moja wa Taifa kukosa mechi mbili

Na Abubakar Khatib (Kisandu), Zanzibar Mlinda mlango mahiri wa timu ya Taifa Jangombe Ahmed Ali ‘Salula’ atakosa michezo yote miwili iliyobaki kuidakia timu yake ya Taifa Jangombe. Mlinda mlango huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiganja yupo kiganjani  mwa wanasimba

Na Hemed Kivuyo Mkutano mkuu wa dharura wa wanachama wa Simba uliofanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam umemweka kiganjani Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Mohamed kiganja. Aliwahi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Kwa mara ya kwanza Kapombe kaitaja sababu iliyofanya aachane na soka...

Kama unafatilia vizuri masuala ya soka, basi utakuwa unakumbuka mwaka 2013 Shomari Kapombe wakati huo akiitumikia klabu ya Simba alipata nafasi ya kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya. Kapombe...

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>