Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Kilomoni amefeli kuzuia mkutano wa Simba

Mahakama ya Wilaya ya Ilala metoa ruhusa kwa klabu ya Simba kufanya mkutano maalum wa dharura uliopangwa kufanyika December  11 mwaka huu. Maamuzi hayo yametokana na jaribio la zuio la mkutano huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mechi ya Europa League Sassuola vs Genk yaota mbawa

Mchezo wa Europa League uliokuwa unaikutanisha Sassuolo ya Italia dhidi ya KRC Genk umeahirishwa kutokana na hali ya hewa kutoruhusu mchezo huo kuchezwa. Barafu iliyokuwa ikishuka imesababishwa mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hamis Yusuph, Mzee Abdallah, Omar Matutta, Patrick Mrope, wamzungumzia Rahim...

Mzee Abdallah Ngaunja (wapili kutoka kushoto) kwa wliosimama Na Baraka Mbolembole KUFUATIA ‘mizengwe’ anayoifanya mmiliki wa African Lyon, Rahim Zamunda kwa wachezaji Waganda, Tito Okello na Hood...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiwango cha Henrikh Mkhitaryan kimezua mijadala mitandaoni

Mkhitaryan alifunga bonge la bao baada ya kuchukua mpira akiwa nusu ya uwanja (upande wa Man United) kisha kuwapangua wachezaji kadhaa wan a kufunga goli. Lilikuwa ni goli zuri kutoka kwa nyota huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Stephano Mwasyika: Soka la Tanzania lina maadui wengi, malengo yangu ni kuwa...

Na Baraka Mbolembole “Nimecheza mechi nyingi nikiwa Tanzania Prisons, Yanga, Moro United na Taifa Stars lakini mechi ya Algeria 1-1 Tanzania mwaka 2012 siwezi kuisahau. Ilikuwa mechi ngumu sana, pia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu za Darasa na Mavoco kumtaja Samatta kwenye nyimbo zao

Ngoma nyingi zimeachiwa hivi karibuni za wakali wa Bongo flavor, kati ya ngoma hizo ni pamoja na heat song iliyofanywa na Darasa kwa kumshirikisha Ben Paul ngoma inajulikana kama MUZIKI, lakini pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Klabu ya Arsenal imepost ujumbe kuhusu Uhuru wa Tanzania bara

Wakati Tanzania bara ikisherekea miaka 55 tangu ipate uhuru wake, klabu ya Arsenal inayocheza ligi kuu ya England imepost picha kwenye mtandao wa Facebook ya bendera ya Tanzania iliyoandikwa ‘Happy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Machache kuhusu Kaseke ndani na nje ya Yanga

Yahaya Mohamed ‘Mkazuzu’ alikutana na kiungo mshambuliaji wa Yanga Deusi Kaseke amabaye alisajiliwa kutokea Mbeya City. Amepiga nae stori na nyota huyo ambaye pia ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 5: Matokeo mechi ya kirafiki Poilisi Moro vs Simba

Mchezo wa kirafiki kati ya Polisi Morogoro dhdi ya umemalizika kwa Simba kupata ushindi wa magoli 2-0 katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. Magoli ya Simba yamefungwa na Ibrahim Ajibu , goli la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEACH SOCCER: Tanzania imepata ushindi mbele ya Uganda

Mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa soka la ufukweni kati ya timu ya taifa ya Tanzania dhidi ya Uganda umemalizika kwa Tanzania kupata ushindi wa magoli 7-5. Mechi hiyo iliyochezwa kwenye uwanja maalum...

View Article

Simba yatinga fainali U-20

Simba U20 imetinga hatua ya fainali ya michuano ya ligi kuu Tanzania bara kwa vijana chini ya miaka 20 baada ya kuifunga timu ya Stand United ya Shinyanga. Dakika 90 za mchezo huo wa nusu fainali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga inyang’anywe pointi zote kwa kumtumia Kessy – Rage

Ismail Aden Rage-Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba SC Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Rage ameitaka klabu ya Simba kwenda mbele zaidi kudai haki yao na si kukubali kiasi cha shilingi milioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachezaji wa Uganda wapigwa chini kwa upangaji matokeo

Beki wa zamani wa kimataifa wa Uganda Godfrey Kateregga na Saddat Kyambadde wametimuliwa na Police Football Club kwa upangaji matokeo. “wachezaji hao walikiri,” alisema mwenyekiti wa klabu Assan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lwandamina aanza kwa kichapo Yanga

Yanga imechwapwa 2-0 na JKU ya Zanzibar kwenye mchezo wa kujipima nguvu uliochezwa kwenye uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga yachezesha timu mbili Yanga wamechezesha vikosi viwili tofauti katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pluijm ameishuhudia Yanga ikilazwa na JKU

Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm alikuwa jukwaani akiishuhudia klabu yake ikipoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU ya Zanzibar. Pambano hilo lilisukumwa kwenye uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nchemba anakaba hadi mechi za kirafiki!

Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Mwigulu Nchemba, ameonekana tena kwenye mchezo wa kirafiki wa Yanga wakati wanaikabili JKU kutoka visiwani Zanzibar. Mh. Nchemba ameonekana kwenye mechi nyingi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaburu kasema hajamuona ‘mkata umeme,’ amemuona ‘kishoka’

Makamu wa Rais wa klabu ya Simba SC  Geofrey Nyange ‘Kaburu’ amesema hajamuona kiungo wa Yanga Justine Zulu ambaye kwa sasa ni maarufu kwa jina la ‘mkata umeme’. Badala yake Kaburu amesema aliyemuona...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Maneno ya Lwandamina baada ya kupoteza mchezo wa kirafiki

Kocha mpya wa Yanga amesema Yanga ni timu nzuiri ameona walivyocheza , ameona mapungufu yaliyojitokeza baada ya mchezo wao wa kirafiki dhidi ya JKU yaliyopelekea kupoteza mchezo huo kwa magoli 2-0 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi yaliyofikiwa na Simba kwenye mkutano wa dharura

Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa klabu ya Simba SC Patrick Kahemele, zaidi ya 98% ya wanachama waliohudhuria mkutano wameunga mkono agenda mabadiliko ya katiba iliyopelekwa kwenye mkutano wa dharura....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 38 wafariki baada ya mlipuko nje ya Uwanja wa Besiktas

Mashambulizi mawili ya kujilipua mabomu yametokea nje ya uwanja wa soka wa club ya Besiktas ambayo inashiriki ligi kuu ya Uturuki siku ya Jumamosi usiku sana. Milipuko hiyo imetoka nje ya uwanja wa...

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live