Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hat-trick yampaisha Hilika Zanzabar

Na Abubakar Khatib ‘Kisandu’,  Zanzibar Mshambuliaji wa Zimamoto Ibrahim Hamad Hilika jana amekuwa kinara kwa kucheka na nyavu baada ya kupiga Hat-trick timu yake iliposhinda 8-0 dhidi ya Kimbunga...

View Article


Mambo 8 usiyoyajua kuhusu Himid Mao ‘Ninja’ wa Azam FC

Na Zainabu Rajabu MAISHA ya mpira huenda kasi sana, dakika 90 pekee huweza kumfanya mchezaji awe mfalme au mtumwa katika timu. Shangwe na nderemo zinazozizima uwanjani kutokana na mapigo ya mpira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Post za mastaa baada ya Simba kuifunga Yanga 2-1

Hakuna ubishi kwamba mechi ya Simba na Yanga inawaleta pamoja watu wa kada mbalimbali bila kujali vyama vyao vya siasa, dini, kabila wala rangi zao, wadau wa mchezo wa soka hujumuika kwa pamoja...

View Article

Yanga yalalamika Simba inabebwa

Klabu ya Yanga kupitia kwa Katibu Mkuu wake wamelalamikia kutokuwepo na usawa kwa Simba na yanga katika matumizi ya viwanja vya Uhuru na ule wa Taifa. Mkwasa amesema, Yanga kesho inatakiwa kucheza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wababe wa Simba waishia mikononi mwa Singida Utd

Disemba 22, 2017 Simba ikiwa bingwa mtetezi wa kombe la shirikisho Tanzania bara ilivuliwa ubingwa na Green Warriors kwa kufungwa kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya sate ya kufungana 1-1 ndani ya...

View Article


Costal Union imerejea VPL, kocha kaweka historia baada ya miaka 30

Hatimaye Costal Union ya Tanga imefanikiwa kurejea ligi kuu Tanzania bara kwa ajili ya msimu ujao (2018/19) baada ya kupata matokeo ya ushindi wa magoli 2-0 dhiodi ya Mawenzi market ya Morogoro kwenye...

View Article

Chuji kaweka mezani faili la Coastal kupanda daraja

Kiungo mkomgwe wa soka nchini Athumani Idd ‘Chuji’  amesema mechi za ligi daraja la kwanza ni ngumu na kuzifananisha na fainali. Chuji ameisaidia Coastal Union kurejea ligi kuu baada ya timu hiyo...

View Article

KMC kufanyiwa party kusherekea ligi kuu

Baada ya kusubiri kwa takribani miaka miwili hatimaye timu ya manispaa ya kinondoni kmc leo imefanikiwa kupanda ligi kuu tanzania bara baada ya kupata ushindi wa goli 1-0 ugenini dhidi ya JKT Mlale...

View Article


Dar yachekelea ‘utitiri’ wa timu VPL

Uongozi wa chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam (DRFA ) chini ya mwenyekiti wake Almasi Kasongo unasherekea timu zake kuendelea kupanda ligi kuu tanzania bara baada ya JKT Tanzania na KMC...

View Article


“Ukicheza Simba, Yanga, ukaondoka wanasahau bado ni mchezaji mzuri”-Humud

Watu wengi wamekuwa wakitafsiri mchezaji aliyefanikiwa kucheza ligi kuu anaporudi ligi daraja la kwanza biashara yake inakuwa imekwisha, lakini kiungo mkongwe Abdulhalim Humud ‘Gaucho’ hakubaliani...

View Article

Mdogomdogo Morocco wanatoboa Afrika

Michuano inayoshirikisha wachezaji wanao cheza ligi za nfani-Afrika (CHAN) imemalizika jana Februari 4, 2018 huku wenyeji Morocco wakiibuka mabingwa baada ya ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya Nigeria...

View Article

African Lyon yakamilisha hesabu ligi daraja la kwanza

African Lyon imekamilisha idadi ya timu sita zilizopanda daraja kucheza ligi kuu Tanzania bara msimu ujao baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kiluvya United katika mchezo wa mwisho wa Kundi A...

View Article

Tumeziona timu zilizopanda VPL msimu ujao, bingwa nani? Hii ndiyo njia mbadala

Na Baraka Mbolembole TIMU Sita ambazo zimefanikiwa kupanda ligi kuu Tanzania Bara msimu ujao kutoka ligi daraja la kwanza tayari zimefahamika baada ya kukamilika kwa michezo ya Kundi A Jumatatu hii....

View Article


Niyonzima kufanyiwa upasuaji India

Kiungo wa Simba Haruna Niyonzima anatarajia kwenda nchini India kufanyiwa upasuaji mdogo kwenye mguu unaomsumbua na kumfanya asionekane uwanjani siku za karibuni kutokana na kuuguza majeraha. Afisa...

View Article

Manara hataki Yanga wazomewe

Uongozi wa klabu ya Simba umewaomba mashabiki wake kutowazomea wachezaji wa Yanga watakapokuwa wanaiwakilisha Tanzania kwenye mechi ya kombe la vilabu bingwa Afrika Jumamosi dhidi ya St. Louis Suns...

View Article


Baada ya kupanda ligi kuu, KCM inarudishwa kwa wananchi Kinondoni

Baada ya kupanda daraja wiki moja iliyopita, timu ya KMC FC inayomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni itatambulishwa rasmi kwa wanachi wa wila hiyo na mkoa wa Dar es Salaam kwa ujumla siku ya Jumamosi...

View Article

Simba kuna ‘presha’ kubwa”-Aishi Manula

Golikipa namba moja wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Aishi Manula ameweka wazi tofauti iliyopo kati ya timu mbili ambazo amezitumikia hadi sasa (Azam na Simba) katika ligi kuu...

View Article


Bocco amewaita mashabiki uwanja wa Taifa

Mshambulaji wa Simba John Bocco amewaomba mashabiki wa timu  kujitokeza kwa wingi uwanja wa Taifa kuishuhudia timu yao ikicheza kwa mara ya kwanza mashindano ya Afrika baada ya kupita misimu mitano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba imerudi anga za kimataifa

Simba wamerejea kwenye anga za kimataifa kwa ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya Gendarmerie National ya Djibouti katika mchezo wa Caf Confederation Cup. Wekundu wa Msimbazi wamesubiri kwa miaka mitano (5)...

View Article

Video-Kocha Simba kawajibu wanaobeza 4G kimataifa

Baada ya Simba kushinda kwa magoli 4-0 kwenye mcheO wao wa kwanza wa kimataifa dhidi ya Gendarmerie, mashabiki wa wekundu wa Msimbazi wanasema Simba ilikuwa na uwezo wa kupata ushindi mkubwa zaidi ya...

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>