Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 565

Ndondo Cup 2018 ‘washtue wana!’

$
0
0

Msimu wa Ndondo Cup 2018 umezinduliwa rasmi leo Machi 9, 2018 Dar es Salaam na kamati ya mashindano hayo chini ya mwenyekiti wake Shaffih Dauda. Uzinduzi huo umefanyika katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Escape One na kutangaza rasmi timu za Dar kuanza kujisajili rasmi katika ofisi za chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kwa ada ya shilingi 300,000.

Kama ilivyo ada ya mashindano hayo baada ya Dar es Salaam yataelekea katika mikoa ya Mwanza pamoja na Ruvuma, ambapo kwa Ruvuma itakuwa ni mara ya kwanza wakati mwanza ikiwa ni mara ya pili.

Shaffih Dauda ambaye ni mwenyekiti wa mashindano hayo amefafanua zaidi baadhi ya mambo kupitia video ambayo unaweza kuangalia hapa chini kwa kubofya ‘play’.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 565

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>