Quantcast
Channel: NYINGINE – ShaffihDauda
Browsing all 565 articles
Browse latest View live

Hazard kuongeza mkataba mpya, Klopp amkingia kifua Keita

View Article


IMETHIBITISHWA: Lwandamina ameitosa Yanga

Imethibitika kwamba aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga George Lwandamina amerejea kwao Zambia na amejiunga rasmi la klabu yake ya zamani ZESCO United ambayo alikuwa akiifundisha kabla ya kujiunga na Yanga....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA yampiga pini kwa miezi 12 raisi aliyewataka Wapalestina kuchoma jezi ya...

Chama cha soka ulimwenguni FIFA kimemfungia kwa miezi 12 raisi wa chama cha soka cha Palestina Jibril Rajoub kutojihusisha na masuala yoyote ya soka baada ya kuagiza kuchomwa moto jezi za Lionel Messi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hazard na Jorginho wazidi kung’ara, Rooney kuweka rekodi

24 – Wilfried Zaha ndiye mfungaji bora wa muda wote wa Crystal Palace kwenye michuano ya ligi kuu. Mpaka sasa ana mabao 24, huku Chris Armstrong akishikikia nafasi ya pili na mabao 23. 86 – Jorginho...

View Article

“Ingekuwa masumbwi Taifa Stars isingepangwa na Uganda”-Kiemba

Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars Amri Kiemba amesema ingekuwa ni mchezo wa masumbwi timu Taifa Stars isingepangwa na Uganda kwa sababu timu hizo mbili hazipo kwenye mizani sawa. “Naipongeza timu kwa...

View Article


Bondia Mtanzania aushangaza ulimwengu

Bondia mtanzania Hassan Mwakinyo alieyempiga bondia wa England Sam Eggington katika pambano la utangulizi kabla ya pambano kuu kati ya Amir Khan dhidi ya Samwel Vargas kwa sasa anawataka ma-star wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bondia Mtanzania apongezwa Bungeni

Bondia mtanzania Hassan Mwakinyo aliyempiga bondia wa Uingereza Sam Eggington katika pambano la utangulizi kabla ya pambano kuu kati ya Amir Khan dhidi ya Samuel Vargas, leo amepongezwa na serikali...

View Article

Viwanja Afrika machinjio ya mashabiki

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 40 kujeruhiwa kwenye vurugu zilizotokea kabla ya mchezo wa kufuzu AFCON kati ya Madagascar na Senegal huko Antananarivo siku ya Jumapili. Vurugu hizo zilitokana na...

View Article


Kaimu Rais atuliza hofu Simba

Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba chini ya makamu mwenyekiti wake Stephen Ally imethibitisha kukamilika kwa zoezi la uchukuaji fomu za kugombea katika klabu hiyo huku anaekaimu nafasi ya Rais Salim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vigogo wa Rwanda waliomhonga refa watiwa mbaroni

Mabosi wa chama cha soka cha Rwanda FERWAFA waliokumbwa na kashfa ya kuhonga refa kwa sasa wanatumia ndoo za korokoni. Tumezoea kusikia kuwa marefa wamehongwa lakini hatujawahi kusikia wanaowahonga ni...

View Article

Sakata la mwamuzi kupewa rushwa Rwanda katika sura nyingine

Viongozi wa FERWAFA (Katibu Mkuu wa FERWAFA Francois Regis Uwayezu na kamishna wa mashindano Eric Ruhamiza) wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kutoa rushwa kwa waamuzi waliochezesha mechi kati ya Rwanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kwani Yanga na Welayta kuliendaje?

Mchezo wa kombe la shirikisho kati ya Yanga na Wolayta Dicha SC kutoka Ethiopia umekamilika. Yanga waliweza kupata ushindi wa magoli mawili kwa bila na kujiweka mguu mmoja mbela katika hatua ya...

View Article

IMETHIBITISHWA: Lwandamina ameitosa Yanga

Imethibitika kwamba aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga George Lwandamina amerejea kwao Zambia na amejiunga rasmi la klabu yake ya zamani ZESCO United ambayo alikuwa akiifundisha kabla ya kujiunga na Yanga....

View Article


Habibu Kyombo asiyependa bata alivyoamua kuichagua Singida na kuitosa Simba

Zoezi la usajili linazidi kupamba moto huku vilabu vya Simba, Singida United na Azam vikionekana kufanya usajili mapema tofauti na timu nyingine. Mshambuliaji aliyesajiliwa na Singida United hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelfu wahudhuria mashindano ya mbio za Mbuzi Dar

Fursa ya kwanza ya uandaaji wa mashindano maarufu ya mbio za mbuzi imekuwa ya mafanikio kwa Klabu ya Rotary ya Oysterbay. Tukio hilo lenye burudani ya aina yake lilikwenda kwa Motto wa ‘Wakanda Goat...

View Article


Rock City Marathon yazinduliwa Mwanza

Msimu wa tisa wa mbio za Rock City Marathon umezinduliwa rasmi jijini Mwanza mwishoni mwa wiki hii huku wito ukitolewa kwa wadau wa utalii na michezo nchini hususani Kanda ya Ziwa kutumia mbio hizo...

View Article

Ofisi ya Marathon Mwanza yazinduliwa

Hatimaye ofisi za Rock City Marathon zimezinduliwa rasmi jijini Mwanza ambayo itakuwa ikihudumia mikoa yote iliyopo Kanda ya Ziwa. Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Bi. Merry Tesha amezindua ofisi hizo...

View Article


Kim kajiuzulu TFF

Mshauri wa ufundi wa TFF kwa timu za vijana Kim Poulsen amejiuzulu nafasi yake. Kim amezungumza na The Citizen na kusema amejisikia vibaya kuchukua  uamuzi huo ambapo anawaacha vijana wenye vipaji wa...

View Article

Ndoto ya Kiemba kwa Himid imetimia

October 2016 katika mishemishe zangu kwenye mitaa ya Shinyanga mjini nilikutana na Amri Kiemba miongoni mwa viungo bora kuwahi kuwashuhudia Bongo. Kiemba alikuwa gym anajiweka fit kwa sababu wakati huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abdi Banda! Hakamatiki tena! anatafutwa na mabingwa

Kupitia jarida maarufu la habari ncini Afrika Kusini Soccerladuma limeripoti kuwa mlinzi mahiri wa klabu ya Baroka Fc Abdi Banda a.k.a Abdi “Van Djik” anawindwa na mabingwa wa msimu na mabingwa mara 8...

View Article
Browsing all 565 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>